Haji Manara anaondoka Simba? Jibu lake hili hapa…

Post ya Haji Manara jana usiku ilizua maswali mengi hadi baadhi ya watu kuhisi kwamba Manara huenda anataka kuikacha Simba kutokana na alichokiandika kwenye ukurasa wake wa Instagra.
“Umbe aliondika Manara ulisomeka hivi: Nia yangu ni njema sana lakini na mimi nina nyongo sihitaji heshima ila walau nipewe utu ninaostahili nimefanya kwa kadiri nilivyojaaliwa a Mungu ila lazima tusonge mbele kwa maslahi mapana ya klabu.”

Baada ya mjadala kuwa mkubwa kuhusu post hiyo hadi baadhi ya vyombo vya habari kuripoti kwamba huenda kuna kutofautiana kati ya manara  na uongozi wa juu wa Simba  Mana aliifuta post hiyo kisha post ujumbe mwingine unaoashiria hana mpango wa kuiacha Simba.
“Siondoki Simba na naomba muelewe hivyo..ninafanya kazi sehemu sahihi na wakati sahihi..rafiki zangu na washabiki wa klabu  muelewe hivyo..walichokitangaza ni uzushi…nawezaje kuwacha Simba kipindi hiki muhimu?
#ThisIsSimba #SimbaSCNguvuMoja, we are together.”


Muamuzi aisaidia Madrid kwenda nusu fainali, Bayern nao mambo safi



Dalili za filamu iliyowatokea jana Barcelona zilianza kuonekana kama zinawatokea Real Madrid, hadi dakika ya 90 Juventus tayari walikuwa mbeleni kwa mabao 3 kwa 0 katika dimba la Santiago Bernabeu.

Shukrani kwa muamuzi Michael Oliver ambaye dakika ya 92 alitoa tuta kwa Real Madrid ambalo liliwapa bao ambalo liliitupa nje ya michuano ya Ulaya Juventus huku mlinda lango wao Gianluigi Buffon akipewa kadi nyekundu.
Bao la leo la Cristinao Ronaldo limeweka rekodu ya mchezaji mmoja kufunga mabao mengi dhidi ya mpinzani mmoja (10) akiivunja rekodi yake mwenyewe ya mabao 9 vs Bayern na Lionel Messi mabao 9 vs Arsenal.
Huko Allianz Arena Bayern Munich walisuluhu bao sifuri kwa sifuri na Sevilla, matokeo haya yanawafanya Barca kufudhu kwa aggregate ya bao 2-1 baada ya ushindi walioupata Hispania wiki iliyopita.
Kwa matokeo ya leo yanafanya nusu fainali kuwa na muwakilishi kutoka Italia, Ujerumani, Uingereza na Hispania, hii ikiwa mara ya kwanza kwa nusu fainali ya namna hiyo kutokea tangu mwaka 2010.

All goal: Yanga vs TP Mazembe June 28 2016, Full Time 0-1

Premier League 2015/16 ● Top 10 Goals ● HD

Barclays Premier League 2015/16 Highlights:"The Wonder Season"

UNHCR Concerned as Niger Forces Out Nigerians

The United Nations refugee agency expressed concern that Niger is forcing Nigerians away from Lake Chad and their livelihoods in the wake of a deadly battle with the Boko Haram extremist group.
Thousands of Nigerians who worked in the fishing industry are being forced away from Lake Chad by the government of Niger and back into Nigeria, according to authorities on both sides of the border.
The order comes in the wake of an attack, by the Boko Haram extremist group on the island of Karamga in Lake Chad last month, that killed at least 74 Niger soldiers and civilians.
Alhaji Muhammed Kanar, northeast coordinator for Nigeria’s emergency management agency, said, “From the first three days, we received nearly 4,000. And in fact, another batch of nearly 3,000 or above, we are now in the process of registration.”
Boko Haram’s six-year rampage across northeastern Nigeria has displaced more than a million Nigerians.
The attack in Niger came three months after Nigeria’s northern neighbor joined a multinational offensive aimed at ending the extremist group's quest to impose strict Sharia law on northeastern Nigeria.
Ordered to leave
Karl Steinacker, Niger's representative for UNHCR, the United Nations refugee agency, said Niger's government last week ordered civilians living on islands in Lake Chad to leave.
Those islands are home to both Nigerians and Nigeriens working in the fishing industry. But, while citizens of Niger are moving into cities and towns, Nigerians have nowhere to go but back across the border, Steinacker said.
“People’s livelihoods have been destroyed because they have been told you can no longer live and work on the lake, and now they are told, OK, but in any event, we’ll take you back to your country. So they say yes… What other options do they have?" he said.
The migrant workers are being sent on trucks into Nigeria’s Yobe state, which has been ravaged by the Boko Haram insurgency. Steinacker said the returning Nigerians are being put at risk.
“Even if they are migrants, the question is, is it appropriate to send them back, and is it the right way it’s being handled, and I guess in both cases it is no," he said.
After a meeting on Thursday, Steinacker says government officials agreed to a plan with aid agencies that will better allow them to assist the returning Nigerians.

LooK on Woonderful PHOTOS!!!!

1
Sheikh Mohammed bin Rashid al-Maktoum, Prime Minister of the United Arab Emirates (UAE) and ruler of Dubai (C) takes part in a ceremony to unveil UAE's Mars Mission in Dubai.
 
 
 
2
Boys sit in a tree under a partly cloudy sky in an open field in Karachi, Pakistan.
 
 
3
People walk through the garden of Changgyeonggung Palace in Seoul.
 
 
4
A boy jumps into the Ganges river to cool himself off on a hot summer day in Kolkata, India. Temperature in Kolkata is expected to reach 37 degrees Celsius (98.6 degrees Fahrenheit).
 
 
 
5
A couple uses a smartphone as they wait for the start of a shadow play performance at Changgyeonggung Palace in Seoul.
 
 
 
6
A man drives the "Iris viseo", an electric surveillance vehicle with a telescopic cockpit designed and manufactured in France at the car park of a shopping center in Noyelles-Godault.
 
 
 
7
A Buddhist monk catches an aerial view of Kathmandu from the damaged Swayambhunath Stupa premises in Kathmandu, Nepal.
 
 
 
8
A woman sits underneath a sculpture at a financial district in Beijing, China, May 5, 2015.
 
 
 
9
A view of the Great Falls of the Potomac River on the Virginia side of the river, about 25 km upstream from Washington, D.C. (photo by Diaa Bekheet)
 
 
 
10
The unmanned SpaceX Crew Dragon lifts off from launch pad 40 during a Pad Abort Test at the Cape Canaveral Air Force Station in Cape Canaveral, Florida.
 
 
 
11
Fabio Fognini from Italy serves during his Madrid Open tennis tournament match against Grigor Dimitrov from Bulgaria in Madrid, Spain.
 
 
 
12
Kaydann Marshall runs through a park fountain in Cincinnati, Ohio, May 5, 2015.Temperatures rose past 80 degrees Fahrenheit for the second consecutive day as warmer weather settled into the region. 

 
13 View of the Villarrica volcano, one of Chile's most active, picture taken from Pucon, some 800 km south of Santiago